Wachezaji wa Timu ya Kundema na Mafunzo wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung.Timu ya Kundemba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.Dhidi ya Timu ya Mafunzo.
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment