Wachezaji wa Timu ya Kundema na Mafunzo wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung.Timu ya Kundemba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.Dhidi ya Timu ya Mafunzo.
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment