Habari za Punde

Rais Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi wa Ruangwa Mkoani Lindi


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Kilimahewa uliopo Ruangwa Mjini kabla ya kuwahutubia wananchi ikiwa ni muendelezo wa Ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 18 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wakati akiangalia Akina mama (wa Kabila la Wamwera) wakiwa wamelala chini kama ishara ya heshima kubwa ya Mapokezi kwa Mhe. Rais Samia mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Kilimahewa Ruangwa Mkoani Lindi
Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Kilimahewa Ruangwa Mkoani Lindi ikiwa ni muendelezo wa Ziara yake katika Mikoa ya Kusini
Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Kilimahewa Ruangwa Mkoani Lindi ikiwa ni muendelezo wa Ziara yake katika Mikoa ya Kusini
Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Kilimahewa Ruangwa Mkoani Lindi ikiwa ni muendelezo wa Ziara yake katika Mikoa ya Kusini


Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Kilimahewa Ruangwa Mkoani Lindi ikiwa ni muendelezo wa Ziara yake katika Mikoa ya Kusini
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.