Habari za Punde

Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema Wahutubia Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na Zambia (Tanzania-Zambia Business Forum) Jijini Lusaka

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Raphael Maganga akizungumza katika Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara (Tanzania-Zambia Business Forum) uliofanyika Lusaka nchini humo tarehe 24 Oktoba, 2023. 

. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akizungumza katika Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara (Tanzania-Zambia Business Forum) uliofanyika Lusaka nchini humo tarehe 24 Oktoba, 2023 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara (Tanzania-Zambia Business Forum) uliofanyika Lusaka nchini humo tarehe 24 Oktoba, 2023.

Wafanyabiashara pamoja na Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara (Tanzania-Zambia Business Forum) uliofanyika Lusaka nchini humo tarehe 24 Oktoba, 2023.

Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema akiwahutubia Wafanyabiashara kutoka Tanzania na Zambia katika Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara (Tanzania-Zambia Business Forum) uliofanyika Lusaka nchini humo tarehe 24 Oktoba, 2023.


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wafanyabiashara kutoka Tanzania na Zambia katika Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara (Tanzania-Zambia Business Forum) uliofanyika Lusaka nchini humo tarehe 24 Oktoba, 2023.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.