Mheshimiwa Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Mhe. Suleiman Masoud Makame jana pembezoni mwa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa IORA, unaofanyika Colombo, Sri Lanka, alikutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Korea Bwana Chung Byun-Won, na kuzungumzia maeneo mbali mbali ya mashirikiano baina ya Tanzania na Korea ikiwemo masuala ya kibiashara, miundombinu, uwekezaji, uchumi wa buluu, maendeleo ya kijamii, miradi mbali mbali ya maendeleo inayofanyika Tanzania kupitia Serikali ya Korea, pamoja na Mkutano ujao wa Korea na Afrika unaotarajiwa kufanyika mwakani na fursa zinazokuja za mahusiano ya karibu zaidi yanayozidi kukua baina ya Tanzania na Korea.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment