Mheshimiwa Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Mhe. Suleiman Masoud Makame jana pembezoni mwa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa IORA, unaofanyika Colombo, Sri Lanka, alikutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Korea Bwana Chung Byun-Won, na kuzungumzia maeneo mbali mbali ya mashirikiano baina ya Tanzania na Korea ikiwemo masuala ya kibiashara, miundombinu, uwekezaji, uchumi wa buluu, maendeleo ya kijamii, miradi mbali mbali ya maendeleo inayofanyika Tanzania kupitia Serikali ya Korea, pamoja na Mkutano ujao wa Korea na Afrika unaotarajiwa kufanyika mwakani na fursa zinazokuja za mahusiano ya karibu zaidi yanayozidi kukua baina ya Tanzania na Korea.
Dkt.Temba awaunganisha vijana Kenya, wampongeza Rais Dkt.Samia na Ruto
-
NA MWANDISHI WETU,NAIROBI
VIJANA nchini Kenya wamewapongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri...
1 hour ago

0 Comments