Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabriel akitoa mada ya Emotional Intelligence (EI) kwa watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakati wa jumuiko maalum la watumishi wa Tume lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Kutangazia Matokeo wa Tume, Njedengwa Jijini Dodoma. (Picha na NEC).
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment