Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabriel akitoa mada ya Emotional Intelligence (EI) kwa watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakati wa jumuiko maalum la watumishi wa Tume lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Kutangazia Matokeo wa Tume, Njedengwa Jijini Dodoma. (Picha na NEC).
WAGENI WAENDELEA KUMIMINIKA HIFADHI YA NGORONGORO
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro.
Wageni kutoka mataifa mbalimbali wanaotembelea eneo la Hifadhi ya
Ngorongoro wameendelea kufanya shughuli za utalii kwa am...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment