Habari za Punde

City College Ilala Yakabidhi Zawadi kwa Mchezaji Mwenye Nidhami Katika Mchezo wa Simba na JKU Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024

Mkuu wa Chuo cha City College of Health -Ilala Campus Nurdin Mwasha akimkabidhi zawadi ya shilingi 200,000/-  mchezaji bora mwenye  nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024,kutoka Timu ya JKU Adam Abdallah, katika mchezo huo uliofanyika jana usiku katika uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.
Katika mchezo huo Timu ya Simba imeshinda kwa bao 3-1. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.