Mkurugenzi Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shabani akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya Yanga wakati wa mchezo wao na Timu ya Jamus mchezo huo Timu ya Yanga imeshinda bao 2-1, uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.
Nafasi ya Kuibuka Milionea Ipo Leo
-
NI Ijumaa nyingine tena ya kutusua kijanja na wakali wa ubashiri
Meridianbet. Mechi za ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea leo, hivyo
suka jamvi lako ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment