Mkurugenzi Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shabani akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya Yanga wakati wa mchezo wao na Timu ya Jamus mchezo huo Timu ya Yanga imeshinda bao 2-1, uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.
“BALOZI NCHIMBI ATOA SALAMU ZA PASAKA KATIKA MTOKO ULIONDALIWA NA WASANII
WA INJILI”
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John
Nchimbi, ametoa salamu za Sikukuu ya Pasaka katika Tamasha la Mtoko wa
Pasaka lililoand...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment