Mkurugenzi Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shabani akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya Yanga wakati wa mchezo wao na Timu ya Jamus mchezo huo Timu ya Yanga imeshinda bao 2-1, uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment