Mshambuliaji wa Timu ya Simba akijiandaa kumpita beki wa Timu ya APF.FC wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi unaofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, hadi sasa kupindi cha pili kikiendelera Timu hizo bado kufunganga ikiwa ni Dakika ya 69 ya mchezo huo kipindi cha pili.
MUFTI MKUU TANZANIA KUJA NA ZIARA YA KUIMARISHA UONGOZI MKOA WA DODOMA
-
Mufti Mkuu Sheikh Abubakar Zubeir amesema Baraza limepanga kufanya ziara
rasmi mkoani Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kutembelea mikoa yote 26
nc...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment