Mshambuliaji wa Timu ya Simba akijiandaa kumpita beki wa Timu ya APF.FC wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi unaofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, hadi sasa kupindi cha pili kikiendelera Timu hizo bado kufunganga ikiwa ni Dakika ya 69 ya mchezo huo kipindi cha pili.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment