Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifunua kitambaa kuashiria ufunguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kaskazini "B"-Pangatupu iliyopo Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar, Januari 11, 2024. Kushoto ni Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Nasser Ahmed Mazrui. Uzinduzi wa Hospital hiyo ni sememu ya shamrashamra kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kaskazini "B"-Pangatupu iliyopo Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar, Januari 11, 2024. Kushoto ni Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Nasser Ahmed Mazrui. Uzinduzi wa Hospital hiyo ni sehemu ya shamrashamra kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
No comments:
Post a Comment