Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja Katika Futari Maalum Aliyowaandali Ukumbi wa Dk.Ali Mohammed Shein Suza Tunguu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akisalimiana na Viongozi wa Mkoa wa Kusini Unguja alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Dk.Ali Mohammed Shein SUZA Tunguu  Wilaya ya Kati Unguja kwa ajili ya kujumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Futari  maalum aliyowaandali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkaribisha Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi tende kwa ajili ya kufutari,baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Magharibi na kujumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Dk.Ali Mohammed Shein SUZA  Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakijumuika na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi katika futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Dk.Ali Mohammed Shein Suza Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakijumuika na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi katika futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Dk.Ali Mohammed Shein Suza Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, baada ya kumalizika kwa futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Dk.Ali Mohammed Shein SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar (kushoto kwa Rais) na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, iliyofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohammed Shein SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa futari maalum iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja iliyofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohammed Shein SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Unguja na (kulia kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makaazi Zanzibar Mhe.Rahma Kassim Ali
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa futari maalum iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja iliyofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohammed Shein SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Unguja na (kulia kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makaazi Zanzibar Mhe.Rahma Kassim Ali.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.