RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ya kumuombea marehemu Mwanachuoni
Alhabyb Ahmad Bin Abuubakar Bin Sumeit ikisomwa na Sayy Mudh-hiridin Ally
Qullatein (kushoto kwa Rais) wakiwa katika
kaburi la marehemu lililoko katika eneo la
Msikiti wa Ijumaa Malindi Wilaya Mjini Unguja, wakati wa hafla ya Hauli ya
102 iliyofanyika leo 22-4-2024 na (kushoto kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na
Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Masheikh na Wananchi
mbalimbali katika Kisomo cha Hauli ya 102 ya kumuombe Marehemu Mwanachuoni Mkubwa
Alhabyb Ahmad Bin Abuubakar Bin Sumeit, iliyofanyika leo 22-4-2024 katika
Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na
(kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi na Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun
Ali Suleiman na (kulia kwa Rais) Sheikh. Sayy Mudh-hiridin Ally Qullatein
SAYY.Omar Bin Ally Qullatein akihitimisha kisomo
cha Hauli ya 102 ya kumuombea Marehemu Mwanachuoni Mkubwa Zanzibar Alhabyb
Ahmad Bin Abuubakar Bin Sumeit, iliyofanyika leo 22-4-2024 katika Msikiti Mkuu
wa Ijumaa Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, na (kushoto kwake)
Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Masheikh,
Wanavyuoni na Wananchi baada ya kumalizika kwa Hauli ya 102 na dua ya kumuombea
Marehemu Alhabyb Ahmad Bin Abuubakar Bin Sumeit,iliyofanyika leo 22-4-2024
katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) akizungumza na kuwasilimia Masheikh na Wananchi baada ya
kumalizika kwa Kisomo cha hitma na dua (hauli ya 102 tangu kufariki kwake) ya
kumuombea Mwanachuoni Mkubwa Zanzibar Alhabyb Ahmad Bin Abuubakar Bin Sumeit,iliyofanyika
leo 22-4-2024 katika msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya ya Mjini Unguja
Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Masheikh na Wananchi
katika kuitikia dua ya kumuombea Mwanachuoni marehemu Alhabyb Ahmad Bin
Abuubakar Bin Sumeit,ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi
(kushoto kwa Rais) baada ya kumalizika kwa kisomo hicho kilichofanyika katika
Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo
22-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Sheikh. Ali Hemed Jabir
(Aliyani) baada ya kumalizika kwa Hauli ya 102 na dua ya kumuombea Mwanachuoni
marehemu Alhabyb Ahmad Bin Abuubakar Bin Sumeit,iliyofanyika katika Msikiti
Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2024
No comments:
Post a Comment