Habari za Punde

KATIBU MKUU LUHEMEJA AZUNGUMZA NA WASHIRIKI COP29

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja akionesha vitabu vya mazingira vilivyoandikwa na mtoto wa kitanzania Georgina Magesa wakati akizungumza Watanzania wanaoshiriki Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29) unaofanyika katika Mji wa Baku nchini Azerbaijan.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza na Watanzania wanaoshiriki Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29) unaofanyika katika Mji wa Baku nchini Azerbaijan.

Sehemu ya Watanzania wanaoshiriki Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29) unaofanyika katika Mji wa Baku nchini Azerbaijan wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (hayupo pichani) alipokutana na kuzungumza nao katika banda la Tanzania.

Sehemu ya Watanzania wanaoshiriki Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29) unaofanyika katika Mji wa Baku nchini Azerbaijan wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (hayupo pichani) alipokutana na kuzungumza nao katika banda la Tanzania.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.