Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Utatu wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi hiyo kwa njia ya mtandao katika Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 11 Desemba, 2024.
Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Uwanja wa Gombani
Pemba leo 12-1-2025
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akipokea Maandamano ya Wananchi katika Maadhimisho ya Kilele cha
Miaka 61...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment