Habari za Punde

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Mattar Zahor Masoud na Viongozi wa Dini alipowasili katika viwanja vya Msikiti wa Ijumaa Mbalungini Pitanazako, kwa ajili ya ufunguzi wa Zawiya Ishaat Auswafi Nnabiyya (S.A.W) Mbalungini, ufunguzi huo uliyofanyika leo 13-12-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokelewa kwa zikiri maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya Ufunguzi wa Zawiya Ishaat Auswafi Nnabiyy (S.A.W) katika kijiji cha Mbalungini Pitanazako Mkoa wa Kaskazini Unguja, uzinduzi huo uliofanyika leo 13-12-2024, kabla ya Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika msikiti huo.
 











No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.