Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amezindua Bodi Mpya ya Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation Jijini Dar es Salaam

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mkapa Foundation (BMF)  Balozi Liberata Mulamula alipowasili katika viwanja jengo la Mkapa Foundation Kawe Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya uzinduzi wa Bodi mpya wa Taasisi hiyo (kulia kwake) Mama Anna Mkapa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation (MBF) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mama Anna Mkapa alipowasili katika viwanja vya Ofisi ya Taasisi hiyo Kawe Jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya uzinduzi wa Bodi mpya wa Taasisi hiyo.



 






RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuizundua Bodi Mpya ya Taasisi ya Benjam William Mkapa Foundation (BMF) uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Jengo la Mkapa Foundation Kawe Jijini Dar es Salaam leo 14-12-2024, na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya (BMF) Balozi Liberata Mulamula na (kulia kwa Rais) Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo Dr.Ellen M .Senkoro.














No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.