Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Ikulu Chamwino
Mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa
Shirika la Afya Duniani Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus mara baada ya
mazungumzo yao, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Januari, 2025.
No comments:
Post a Comment