Habari za Punde

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Djibouti, Ikulu Jijini Dar es Salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Mhe. Ismail Omar Guelleh ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mhe. Mahmoud Ali Youssouf mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Januari, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Djibouti Mhe. Ismail Omar Guelleh uliowasilishwa kwake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti Mhe.  Mahmoud Ali Youssouf mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Januari, 2025.  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.