Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum, Neema Lugangira amenza kazi jijini Brussels kama Katibu Mkuu wa Women Political Leaders (WPL) — Jumuiya ya Kimataifa ya Viongozi Wanawake: Marais, Makamu wa Rais, Mawaziri Wakuu, Mawaziri, Wabunge na Mameya/Wenyeviti wa Halmashauri; ambapo wanalenga kuongeza uwakilishi wa wanawake katika siasa na kuimarisha sauti, ushawishi na aina ya uongozi wao katika nyanja na sekta mbalimbali. #UongoziUnaopimika
Rais Mstaaf wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Kikwete
Ahudhuria Mkutano Mkuu wa Uwekezaji wa Maji Afrika Jijini Cape Town Afrika
Kusini
-
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika Mkutano wa Kwanza wa Uwekezaji wa
Maji Afri...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment