Habari za Punde

Jimbo la Dimani Limeitika Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni Kuwanadi Wagombea wa CCM wa Ubunge,Uwakilishi na Udiwani wa Wadi Mbili za Dimani na Kisauni

Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Ndg. Rehema Sombi Omary akiwatambulisha Wagombea Ubunge, Uwakilishi na Udiwani Jimbo la Dimani Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampeni wa jimbo hilo zilizofanyika katika Uwanja wa Mpira Kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja leo 23-9-2025 (kulia ) Mgombea Uwakilishi Jimbo la Dimani Mhe. Mwanaasha Khamis Juma na Mgombea Ugunge Jimbo la Dimani Mhe. Nabil Ahmed Abdallah.
































No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.