Habari za Punde

Jimbo la Dimani Limeitika Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni Kuwanadi Wagombea wa CCM wa Ubunge,Uwakilishi na Udiwani wa Wadi Mbili za Dimani na Kisauni

Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Ndg. Rehema Sombi Omary akiwatambulisha Wagombea Ubunge, Uwakilishi na Udiwani Jimbo la Dimani Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampeni wa jimbo hilo zilizofanyika katika Uwanja wa Mpira Kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja leo 23-9-2025 (kulia ) Mgombea Uwakilishi Jimbo la Dimani Mhe. Mwanaasha Khamis Juma na Mgombea Ugunge Jimbo la Dimani Mhe. Nabil Ahmed Abdallah.

Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Ndg. Rehema Sombi Omary akimtambulisha na kumuombea Kura Mgombea Ubunge wa Jimbo la Dimani Zanzibar Mhe.Nabil Ahmed Abdallah  kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni wa Jimbo la Dimani uliyofanyika katika viwanja vya mpira Kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja.

Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Ndg. Rehema Sombi Omary akimkabidhi Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Dimani Zanzibar Mhe.Nabil Ahmed Abdallah  kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni wa Jimbo la Dimani uliyofanyika katika viwanja vya mpira Kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja.
Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Ndg. Rehema Sombi Omary akimtambulisha na kumuombea Kura Mgombea Uwakilishi Jimbo la Dimani Zanzibar Mhe.Mwanaasha Khamis Juma kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni wa Jimbo la Dimani uliyofanyika katika viwanja vya mpira Kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja.
Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Ndg. Rehema Sombi Omary akimkabidhi Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, Mgombea Uwakilishi  Jimbo la Dimani Zanzibar Mhe.Mwanaasha Khamis Juma kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni wa Jimbo la Dimani uliyofanyika katika viwanja vya mpira Kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Dimani Kichama Ndg. Alawi Haidar Fuom akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni wa Jimbo la Dimani uliyofanyika katika viwanja vya Kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja.

Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Dimani Zanzibar Mhe. Mustafa Mwinyikondo Rajab akizungumza na kuwaombea Kura Wagombea  Uwakilishi, Ubunge na Madiwani wa Wadi za Kisauni na Dimani, wakati wa ufunguzi wa Mkutano Kampeni ya Jimbo hilo uliyofanyika katika viwanja vya Kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja. 
Viongozi mbalimbali katika jukwaa kuu wakifuatilia uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa Wagombea Ubunge,Uwakilishi na Udiwani, uliyofanyika katika viwanja vya mpira kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja. 











Viongozi na Wananchi mbalimbali wakifuatilia uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa Wagombea Ubunge,Uwakilishi na Udiwani, uliyofanyika katika viwanja vya mpira kisauni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja. 










No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.