Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. Philip Mpango, akiwasili Jijini New York nchini Marekeani leo tarehe 21
Septemba 2025. Makamu wa Rais yupo nchini Marekani kumwakilisha Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Kikao
cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 80). 
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
-
MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeahirisha kesi ya Mwenyekiti wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hadi itakapopangiwa kikao
kingine (s...
8 hours ago


.jpg)

.jpg)
.jpg)
.jpg)
No comments:
Post a Comment