Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. Philip Mpango, akiwasili Jijini New York nchini Marekeani leo tarehe 21
Septemba 2025. Makamu wa Rais yupo nchini Marekani kumwakilisha Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Kikao
cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 80).
MASHIMBA AZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO KATA YA MABWEPANDE
-
Mgombea udiwani wa Kata ya Mabwepande kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Ndugu Andrew Mashimba, leo amezindua rasmi kampeni zake kwa kufanya mkutano
wa h...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment