Mfanyabiashara wa Soko la Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba akijipiga SELFIE na Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya CCM, Dk.Hussein Ali Mwinyi alipotembelea sokoni hapo kuzungumza na Wafanyabiashara na Wajasiriamali akiendelea na kampeni yake kuomba kura kwa Wananchi, leo tarehe 24 Septemba
Maelfu Wajaa Ruangwa: Dk. Samia Apokelewa Kwa Shangwe
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruangwa
NI upendo mkubwa kwa mgombea Urais Dk.Samia Suluhu Hassan !Ndivyo
unavyoweza kuelezea namna ambavyo maelfu wananchi wa ...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment