6/recent/ticker-posts

Mgombea Urais wa Zanzibar Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Azungumza na Wafanyabiashara Siko la Chakechake Pemba

Mfanyabiashara wa Soko la Chakechake,  Mkoa wa Kusini Pemba akijipiga SELFIE na Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya  CCM,  Dk.Hussein Ali Mwinyi alipotembelea sokoni hapo kuzungumza na Wafanyabiashara na Wajasiriamali  akiendelea na kampeni yake kuomba kura kwa Wananchi,  leo tarehe 24 Septemba

Post a Comment

0 Comments