Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Mpongo Amefanya Mazungumzo na Taasisi ya ABBOT - New York

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Taasisi ya Abbot anayeshughulikia biashara ya Ulaya,Mashariki ya Kati na Afrika Dkt. Rabah El Menshawy, mazungumzo yaliyofanyika pembezoni mwa Kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 80) Jijini New York nchini Marekani. 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Taasisi ya Abbot anayeshughulikia biashara ya Ulaya,Mashariki ya Kati na Afrika Dkt. Rabah El Menshawy, mazungumzo yaliyofanyika pembezoni mwa Kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 80) Jijini New York nchini Marekani.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa Taasisi ya Abbot anayeshughulikia biashara ya Ulaya,Mashariki ya Kati na Afrika Dkt. Rabah El Menshawy, mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika pembezoni mwa Kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 80) Jijini New York nchini Marekani.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.