Elimu : Awamu ya Sita Yaipiga Jeki Elimu, Walimu Wapongezwa Arusha
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya
maboresho makubwa katika sekta ya elimu mkoani Aru...
23 minutes ago
Hili ndilo tatizo letu sisi waafrika huwa hatuna plan mambo yetu ni ya kukurupuka tu, kama barabara hii tangu mwanzo ilikusudiwa kufanywa njia mbili kwa nini isiwepo plan ya kuigawa kati tangu wakati inajengwa? na hii ingeepusha usumbufu kwa mafundi na watumiaji wa barabara hii pamoja na kupunguza gharama kwa serikali, maana barabara imeshajengwa na sasa hivi sasa watu wanakurupuka na kuanza kuchimba ili kuigawa kati, mambo kama haya kwa kweli tutafika?
ReplyDelete