BALOZI DK.NCHIMBI AMWAKILISHA RAIS SAMIA KUMUAGA HAYATI SONGAMBELE MKOANI
RUVUMA
-
Na Mwandishi Wetu,Songea
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, amemwakilisha Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,D...
5 hours ago
Hili ndilo tatizo letu sisi waafrika huwa hatuna plan mambo yetu ni ya kukurupuka tu, kama barabara hii tangu mwanzo ilikusudiwa kufanywa njia mbili kwa nini isiwepo plan ya kuigawa kati tangu wakati inajengwa? na hii ingeepusha usumbufu kwa mafundi na watumiaji wa barabara hii pamoja na kupunguza gharama kwa serikali, maana barabara imeshajengwa na sasa hivi sasa watu wanakurupuka na kuanza kuchimba ili kuigawa kati, mambo kama haya kwa kweli tutafika?
ReplyDelete