Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
CHATU mkubwa anayekisiwa kuwa na urefu wa futi sita na nusu ameuliwa na wananchi karibu na kituo cha Polisi Unguja Ukuu jana baada ya kusadikiwa kula kuku wa mwananchi mmoja kijijini hapo.
Chatu kama huyo pia aliuliwa ndani ya banda la kuku la Mwalimu mmoja wa Skuli ya Unguja Ukuu hivi karibuni baada ya kuwauwa kuku watatu wa mwalimu huyu.
Pichani chatu huyu akiwa pembezoni mwa barabara karibu na kituo hicho.
WMA YAHAKIKI VIPIMO ASILIMIA 99 YA LENGO
-
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo, akiwasilisha hotuba
ya makadirio ya mapato na matumizi kwa Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha
2025/202...
No comments:
Post a Comment