Habari za Punde

UNYANYASAJI WA WANYAMA



Unyanyasaji wa Wanyama kwa baadhi ya wananchi wanavyowachukuwa wanyama hawa kutoka sehemu moja na kuwepeleka sehemu nyengine kama walivyokutwa vijana hawa wakiwaweka mbuzi katika pakacha, wakiwa mbuzi wawili kila pakacha wakiwa katika mtaa wa Darazjani.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.