Habari za Punde

KAMPUNI YA NISHIZAWA YA JAPAN ILIVYOZINDUA KIWANJA CHA KUFURAHISHA WATOTO 1976

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Aboud Jumbe Mwinyi, alipokifungua kiwanja cha kufurahishia watoto cha Uhuru kilichopo Kariakoo mwaka 1976 akiambatana na Waziri kiongozi Ramadhan Haji Faki wakikagua moja ya vigari vya watoto vilivyokuwa vya aina yake wakati huo
Pembea zilikuwa kwa ajili ya watoto lakini hata watu wazima kipindi hicho waliamua na kufaidi "ureda" kama wakionekana kwenye picha. Naam sikukuu siku hizo ilikuwa raha tu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Aboud Jumbe Mwinyi akipanda moja ya ndege zilizokuwepo katika uwanja huo.
Picha kwa hisani ya Mdau.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.