Habari za Punde

WAKATI RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAKAMO WAKE WALIPOAPISHWA

  RAIS wa Tanzania Jakaya Kikwete akila kiapo cha utii mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania Jaji Augostino Ramadhani


MAKAMO wa Rais wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal nae akila kiapo




SHEKHE wa Dini yas Kiislamu akimuombea duwa Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania katika sherehe iliofanyika uwanja wa Uhuru Temeke nje kidogo ya mji wa Dar-es-Salaam
 RAIS wa Tanzania akipokea Ngao ya kujikinga na maaduni kutoka kwa Mzee Athumani Issa Mwinyimvua

 RAIS wa Tanzania Jakaya Kikwete akiwa na Ngao na Mkuki baada  ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania ikiwa ni ishara ya kujikinga na maadui

Majaji wa Mahakama kuu na Mahakama za Rufaa pia walikuwepo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.