WAKULIMA wa matunda ya Embe wakiwa sokoni Mwanakwerekwe wakisubiri wateja wa bidhaa hiyo ambayo ni msimu wake huu wa embe za aina hii ya shomari tenga moja liliuzwa shilingi 12000/=.
TANZANIA YAPONGEZWA KWA KUWEKA MAZINGIRA RAFIKI YA UWEKEZAJI
-
SERIKALI ya Tanzania imeendelea kupata pongezi kutoka kwa wawekezaji wa
kigeni kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya biashara, ikiwemo
kurahisish...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment