MIUNDOMINU ya Barabara Kisiwani Pemba inazidi kuimarika kwa ujenzi wake kama barabara hii ya Mtambile Kangani ikiwa imekamilika kwa kiasi cha asilimia 90 kumalizika kwake ikiwa ni moja ya barabara za Mkoa wa Kusini Pemba zinazojengwa.
Uzuri wa Tanzania Kupitia Sanaa, Vivo Energy Yazindua mashindano ya Awamu
ya pili kwa shule za Sekondari na Vyuo nchini
-
Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya Sekondari Jangwani wakiwa
katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliofika shuleni kwaajili ya
uz...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment