MIUNDOMINU ya Barabara Kisiwani Pemba inazidi kuimarika kwa ujenzi wake kama barabara hii ya Mtambile Kangani ikiwa imekamilika kwa kiasi cha asilimia 90 kumalizika kwake ikiwa ni moja ya barabara za Mkoa wa Kusini Pemba zinazojengwa.
Meridianbet Yaungana na Diwani wa Kata Kufanya Usafi Africana
-
IKIWA ni Jumamosi nyingine ya kijanja, wakali wa ubashiri Meridianbet leo
hii wamefika Mbezi Africana pale Kituoni na kufanya zoezi la usafi. Lakini
pia l...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment