

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe Balozi Seif Ali Iddi, akimkagua mmoja kati ya wahanga wa Mv.Spice mtoto, Saidi Jiradi, aliyelazwa katika Hospitali Kuu ya Mnazimmoja, jumla ya watu mia 600 wameokolewa wakiwa hai na watu 160 Maiti Zao Zimepatikana na bado harakati za utafutaji wa maiti zikiwa zinaendelea
Picha na Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais
No comments:
Post a Comment