Meli ya Kitalii kutoka Nchini Afrika Kusini Clipper Odyssey. ikifanya Safari za Kitalii katika Visiwa vya Unguja na Pemba, kutembelea sehemu za historia, ikiwa na Watalii 58, ikiondoka katika bandari ya Unguja kuendelea na safari yake.
Mkutano wa TISA wa Wakuu wa Nchi na Serikali TICAD Wahitimishwa Jijini
Yokohama
-
Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu
Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development)
umehi...
8 hours ago
Hongera zao vijana, najua wamekula 'vichwa' hapo
ReplyDeleteAh..maskini enzi zangu!