Meli ya Kitalii kutoka Nchini Afrika Kusini Clipper Odyssey. ikifanya Safari za Kitalii katika Visiwa vya Unguja na Pemba, kutembelea sehemu za historia, ikiwa na Watalii 58, ikiondoka katika bandari ya Unguja kuendelea na safari yake.
MAKAMU WA RAIS AZITAKA TAASISI ZA FEDHA KUFUATA NYAYO ZA CRDB BENKI.
-
Na.Ashura Mohamed -Arusha
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Isdory Mpango
amezitaka Taasisi nyingine za fedha nchini kuendelea ...
8 hours ago
Hongera zao vijana, najua wamekula 'vichwa' hapo
ReplyDeleteAh..maskini enzi zangu!