Uimarishaji wa Miundombinu ya barabara imekuza uingizaji wa magari katika katika visiwa vya Zanzibar na kusababisha foleni kwa baadhi ya wakati, kama inavyoonekana katika barabara ya darajani ikiwa na foleni kubwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe..Dkt. Samia Suluhu Hassan
Amemuapisha Mhe. Hamza Johari Kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Bw. Hamza Saidi Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye
hafla...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment