Mwenyekiti wa Sadc Steering Committee Augusto Rosa Neto, akiongoza Mkutano unaozungumzia masuali ya Afya kwa nchi wanachama wa Sadcm, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Mazizini Unguja.
Wajumbe wakiwa katika mkutano huo wakimsikiliza Mwenyekiti.
No comments:
Post a Comment