Jengo la Klabu ya Kuinua Vito Vizito Mnazimmoja Zanzibar lapata Mfadhili wa kulifanyia ukarabati mkubwa na na kuwa la kimataifa baada ya kumaliza ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya Kusafirisha Mabaharia Zanzibar ya Danaos, kama linavyoonekana pichani likiwa katika hali ya kupendeza na kutowa motisha kwa wachezaji wa mchezo huo hapa Zanzibar.
Wachezaji wa mchezo wa kiinua vitu vuzito wakiwa katika mazoezi na huku ujenzi huo ukiendelea.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment