Jengo la Klabu ya Kuinua Vito Vizito Mnazimmoja Zanzibar lapata Mfadhili wa kulifanyia ukarabati mkubwa na na kuwa la kimataifa baada ya kumaliza ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya Kusafirisha Mabaharia Zanzibar ya Danaos, kama linavyoonekana pichani likiwa katika hali ya kupendeza na kutowa motisha kwa wachezaji wa mchezo huo hapa Zanzibar.
Wachezaji wa mchezo wa kiinua vitu vuzito wakiwa katika mazoezi na huku ujenzi huo ukiendelea.
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA 
KASI
                      -
                    
Na Munir Shemweta, WANMM 
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya 
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment