Mfanyakazi wa Manispaa ya Zanzibar akifanya usafi katika soko kuu la darajani sehemu ya kuuzia mbogamboga, kama alivyokutwa na mdau wa blogo hii akifanya usafi huu leo mchana.kuimarisha usafi wa mazingira ya soko hilo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefanya Uteuzi wa Wajumbe 8 Kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
walioteuliw...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment