Mchezaji wa timu ya Miembeni United Kassim Hamad,huku mchezaji wa timu ya Chipukizi Abdullatif Abdalla akijiandaa kumzuiya katika mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar, uliofanyika uwanja wa Mao timu hizo zimetoka sare ya 0 -- 0.
Wachezaji wa timu ya Miembeni United na Chipukizi wakiwania mpira katika mcxhezo wa ligi kuu ya Zanzibar.
Viongozi wa timu ya Chipukizi wakimlalamikia muumuzi kwa uchezeshaji wake wa kupendelea upande mmoja, katika mchezo wa ligi kuu ya zanzibar.
Mchezaji wa timu ya Chipukizi wakimzonga muumuzi kwa uchezeshaji waki kwa kuipendelea timu ya Miembeni United,.
No comments:
Post a Comment