Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- VISA INTERNATIONAL YAZINDUA TAWI TANZANIANa Mwandishi wetu 16.07.2025DAR ES SALAAM
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid akizungumza katika Mkutano wa Kwanza wa Baraza la Kumi na Moja la Wawakilishi,...
-
Mhe Hemed Suleiman Abdullah Mwakilishi Mteule wa Jimbo la Kiwani Pemba akifanya usajili kwa ajili ya maandalizi ya kuaza kwa Mkutano wa Kwan...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akikabidhiwa nyaraka mbalimbali za Ofisi ya Makamu wa Rai...
-
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Maalumu c...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Uru...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar...
-
Dkt.T ulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ...
Wanafunzi Washiriki Debate - Kujadili Muundo wa Familia
Wanafunzi kutoka katika Skuli ya Lumumba,Benmbela,Hailesalasie,Kiponda na Bilal Islamic wakishiriki katika Mashindano ya kujadili Muundo wa Familia za Kiislamu na Familia nyengine,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Jumuiya ya Utamaduni ya Irani iliokuweko Mlandege Zanzibar
Mkurugenzi wa Jumuiya ya Utamaduni ya Irani sheikh Abulfadhili akitoa maelezo mafupi kuhusiana na madhumuni ya mashindano yalioshirikisha Wanafunzi kutoka Skuli ya Lumumba,Benmbela,Hailesalasie,Kiponda na Bilal Islamic waliojadili Muundo wa Familia za Kiislamu na Familia nyengine,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Jumuiya ya Utamaduni ya Irani iliokuweko Mlandege Zanzibar.
Mwanafunzi kutoka katika Skuli ya Lumumba Secondary school Ghania Hemed Salim akijibu maswali mbalimbali alioulizwa katika Mashindano ya kujadili Muundo wa Familia za Kiislamu na Familia nyengine,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Jumuiya ya Utamaduni ya Irani iliokuweko Mlandege Zanzibar
Mwanafunzi kutoka katika Skuli ya Kiponda Saleh Ali Saleh akijibu maswali mbalimbali alioulizwa katika Mashindano ya kujadili Muundo wa Familia za Kiislamu na Familia nyengine,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Jumuiya ya Utamaduni ya Irani iliokuweko Mlandege Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Sekondary Khadija Ali Mohd akitoa hotuba ya kuwapongeza Wanafumzi walioshiriki katika Mashindano ya kujadili Muundo wa Familia za Kiislamu na Familia nyengine,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Jumuiya ya Utamaduni ya Irani iliokuweko Mlandege Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
MARAIS WASTAAFU WA ZANZIBAR WAMPONGEZA RAIS DK.MWINYI KWA USHINDI NA KUDUMISHA AMANI . - Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Marais Wastaafu wa Zanzibar (kulia kwa ...2 hours ago
-
Habari : Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Ashiriki Mkutano wa Dharura wa SADC - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi W...17 hours ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl7 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
Hutuba ya Mhe Waziri wa Afya Nd. Mahmoud Thabit Kombo kwa Waandishi wa Habari Katika Maadhimisho ya Siku ya Malaria Dunia Zanzibar, 22...
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...

Lau kama serikali ingejua umuhimu wa dibeti ktk ukuzaji wa kujiamini (confidence) kwa wanafunzi, nadhani wangetenga vipindi maalum vya dibeti kama vile ilivyo kwa masomo mengine.
ReplyDeleteNdugu zangu Naibu warizi wa mambo ya ndani ya nchini kutoka Z'BAR anatutia aibu!
Hana 'confidence' hata kidogo, pamoja na elimu aliyonayo.
Ktk uteuzi ambao SMZ inaonekana imepatia ni ule wa Naibu waziri wa fedha Bi Saada Mkuya pamoja na uwanagezi wake Bungeni lkn. kwa kweli anafurahisha.
Ndugu zangu tengeni mda muangalie Bunge!
Ipo haja kwa Wizara ya elimu kusisistiza dibeti maskulini.