Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Bishop Michael wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar mara baada ya kuwasilisha salamu zao za Rambi Rambi kwa Makamu wa Rais walipofika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani kulia. Katibu Mkuu wa Dayosisi Nuhu Sallanya.
Mashirikiano PURA, ALNAFT kuimarisha ufanisi wa utendaji
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imekutana na
kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli ya
Nchini Algeri...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment