Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Bishop Michael wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar mara baada ya kuwasilisha salamu zao za Rambi Rambi kwa Makamu wa Rais walipofika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani kulia. Katibu Mkuu wa Dayosisi Nuhu Sallanya.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment