Habari za Punde

Waziri wa Fedha Zanzibar Omar Yussuf Akizungumza na Waandishi

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Omar Yussuf Mzee akizungumza na Waandishi wa habari kuhusiana na saini iliotoliana Serekali ya Mapinduzi Zanzibar na Serekali ya China hivi karibuni, mkutano huo umefanyika katika Wizara ya Fedha Vuga. 
 Waziri wa Fedha Omar YussuMzee akifafanua jambo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake.Vuga




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.