Waliochaguliwa Nafasi kumi za NEC Tanzania Bara hawa
1. Wassira Stephen - 2,135
2. January Makamba - 2,093
3. Mwigulu Nchemba - 2012
4. Shigela Martin - 1,824
5. Lukuvi William - 1,805
6. Membe Bernard - 1,455
7. Mathayo David - 1,414
8. Msome Jackson - 1,207
9. Mukama Wilson - 1,374
10. Mukangara Fenella – 984
Waliochaguliwa Nafasi kumi za NEC Zanzibar Hawa.
Samiha Suluhu Hassan,1525
Mohammed Seif Khatib, 1668
Khadija Hassan Aboud,1625
Khamis Mbeto 1233
Abdulhakim Cosmas Chasamma 1248
Bhawanji Misuria Mshamba1406
Omar Yussuf 1485
Mbarawa Mnyaa 1850
Dk Husen Mwinyi 1579
Shamsi Vuai 1603.
ASSALAAM ALEYKUM
ReplyDeleteNakupongeza saana tena saana kwa juhudi unayoichukuwa ya kutujuvya au kutupatia taarifa au habari mbali mbali za matukio tofauti yanayoendelea kujiri ndani na nje ya visiwa vya Zanzibar.
Lakini tatizo langu ni moja tu ndugu yangu nalo ni dogo sana kama utakuwa makini au kulizingatia ni Proofreading katika baadhi ya caption stories unazoziweka na baadhi ya habari. Naelewa kuna kupitikiwa wakati wa kuandika, waandishi wenyewe mnaita typing erros,lakini unapoisoma iwapo itakuwepo na hayo niliyoyataja au kujirejearejea kwa maneno na kukosa kuhaririwa vizuri kabla kuchapa kwakweli huondoa ladha au utamu wa habari yenyewe na hii ni moja ya kasoro zilizopo katika uandishi. uhariri wa taarifa kabla ya kuichapisha.
Ahsante natumai umenielewa kwa nia njema kabisa.
wAASALLAM
Tumekuelewa mkuu wakati mwengine muda wa kuhariri si unajua internet yetu? mara umeweka makala mtandao slow mara umeme huna.
ReplyDeleteTutajitahidi.