Mchuma wa Kampuni ya Azam Marine huo unaotarajiwa kuwasili nchini Marchi 2013, kutoa huduma ya Usafiri kati ya Dar-es- Salaam -Zanzibar na Pemba, ili kupunguza tatizo la usafiri kwa Wananchi wanaotumia njia ya Usafiri wa Baharini. kupata faraja ya kuwa na vyombo vingi vinavyotoa huduma hiyo.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment