Mchuma wa Kampuni ya Azam Marine huo unaotarajiwa kuwasili nchini Marchi 2013, kutoa huduma ya Usafiri kati ya Dar-es- Salaam -Zanzibar na Pemba, ili kupunguza tatizo la usafiri kwa Wananchi wanaotumia njia ya Usafiri wa Baharini. kupata faraja ya kuwa na vyombo vingi vinavyotoa huduma hiyo.
JOTO LA UCHAGUZI LAPANDA ARUMERU MKOANI ARUSHA
-
Na Pamela Mollel, Arumeru
Joto la uchaguzi katika Jimbo la Arumeru Magharibi, mkoani Arusha,
limeendelea kupanda huku wagombea wakijitokeza kuchukua na kur...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment