Matayarisho ya Ujenzi wa Uwanja mpya wa Watoto Kariakoo, kilichokuwa kikijulikana kwa jina la Kiwanja cha Kufurahishia Watoto Kariakoo Zanzibar,kama kinavyoonekana pichani baada ya kufunguliwa baadhi ya pembea zilizokuwa zikitumika katika kiwanja hicho, ili kupisha ujenzi wake na kufungwa mapembea ya kisasa baada ya ujenzi wake unaojengwa na Kampuni kutoka nchini China.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
9 hours ago
Huu ni uvivu wa kufikiri!..Nilitarajia SMZ watumie uwanja huu kwa kitu kingine kama vile ujenzi wa stendi au ofisi za serikali.
ReplyDeleteKtk wakati huu wa biashara huria SMZ ilitakiwa iwaachie w'nchi watafute maeneo ya kujenga mapembea ya kufurahishia watoto.
This comment has been removed by the author.
ReplyDelete