Habari za Punde

Mtalii wa kifaransa akicheza midundo ya kiasili

Mama wa kifaransa ambaye jina halikujulikana (pichani) akisakata midundo ya kitanzania kama alivyokutwa na kamera ya mpiga picha Martin Kabemba kwenye kisiwa kidogo cha Kwale Zanzibar juzi. Jumla ya watalii 120 kutoka Ufaransa walikuwepo nchini kwa ziara ya utalii kwenye sehemu mbalimbali za kihistoria.

Picha na Martin Kabemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.