Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akiwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar katika sherehe za Uzinduzi wa kuzaliwa kwa CCM kutimia miaka 36., akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, akifungwa kiskafu na Watoto wa Chipukizi Pili Hassan na Zadia Mbarouk, baada ya kuwasili katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui kuzindua sherehe za kuzaliwa CCM kutimia miaka 36 zilizofanyika katika viwanja hivyo.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balizo Seif Ali Iddi, akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Silima Borafia alipowasili viwanja vya CCM Ofisi Kuu Zanzibar.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Silima Borafa akihutubia katika mkutano huo na kutowa salamu za Mkoa wake.hayuko pichani.
Waheshimiwa wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akihutubia katika sherehe hizo.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akikabidhiwa Kombe la Michuano yakusherehekea kuzaliwa kwa CCMnakutimiamiaka 36 na Mratibu wa Michuano hiyo na Mwakilishi wa Uzini Mohammed Raza Daramsi.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akikabidhiwa Mipira kwa ajili ya kukabidhi kwa timu za Mikoa zinazoshiriki Michuano ya Kombe la CCM kusherehekea kuzaliwa kwa CCM na kutimiamiaka 36 na Mratibu wa Michuano hiyo na Mwakilishi wa Bububu Hussein Ibrahim Makungu BHAA.
Msanii wa Kikundi cha Sanaa cha Big Star akitowa burudani katika viwanja vya Afisi Kuu yaCCM.
Shekh akisoma dua baada ya kumalizika kwa uzinduzi wa kusherehekea miaka 36 ya CCM, zilizofanyikakatika viwanja vya Afisi Kuu Zanzibar
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wazee wa CCM katika jengo la Afisi Kuu ya CCM Zanzibar baada ya kumaliza kuzinduwa sherehe hizo ambazo zitafikia kilele chake feb 5.
No comments:
Post a Comment