Mabadiliko ya Tabianchi inasababisha uharibifu wa mazingira ya maeneo mbalimbali ya kukumbwa na Tabianchi kama sehemu hii ya Ufukwe wa bahari ya Nungwi ikiwa imeliwa na maji ya bahari na kusababisha eneo la ufukwe huo kuchukuliwa na maji ya bahari, kama inavyoonekana eneo hili lilikiwa tayari limekumbwa na hali hiyo.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment