Mabadiliko ya Tabianchi inasababisha uharibifu wa mazingira ya maeneo mbalimbali ya kukumbwa na Tabianchi kama sehemu hii ya Ufukwe wa bahari ya Nungwi ikiwa imeliwa na maji ya bahari na kusababisha eneo la ufukwe huo kuchukuliwa na maji ya bahari, kama inavyoonekana eneo hili lilikiwa tayari limekumbwa na hali hiyo.
ZAIDI YA WATEJA 1,000 WAREJESHEWA HUDUMA YA MAJI NDANI YA OFA MAALUMU YA
SOUWASA
-
Songea_Ruvuma.
Meneja Huduma kwa Wateja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira
Songea (SOUWASA), Jumanne Gayo, amesema zaidi ya wateja 1,000 kati ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment