Mabadiliko ya Tabianchi inasababisha uharibifu wa mazingira ya maeneo mbalimbali ya kukumbwa na Tabianchi kama sehemu hii ya Ufukwe wa bahari ya Nungwi ikiwa imeliwa na maji ya bahari na kusababisha eneo la ufukwe huo kuchukuliwa na maji ya bahari, kama inavyoonekana eneo hili lilikiwa tayari limekumbwa na hali hiyo.
DKT. TULIA ACKSON AACHIA MBIO ZA USPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
-
Dkt.Tulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya
Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha
Mapinduzi (CCM...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment