Milango ya Zanzibar Door ni moja ya kivutio cha Mji Mkongwe wa Zanzibar kwa Wageni wanaofika katika mitaa hiyo kuangalia mitaa ya historia na wakazi wa Zanzibar hutumia milango hiyo kwa matumizi ya majengo yao ili kupendezesha majengo yao. Mloango kama huu huuzwa kati ya shilingi laki saba na kuendelea inategemeana na uzuri wa mlango wenyewe.
DK.MWINYI AHIMIZA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29
-
MGOMBEA wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.
Dkt. Hu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment