Milango ya Zanzibar Door ni moja ya kivutio cha Mji Mkongwe wa Zanzibar kwa Wageni wanaofika katika mitaa hiyo kuangalia mitaa ya historia na wakazi wa Zanzibar hutumia milango hiyo kwa matumizi ya majengo yao ili kupendezesha majengo yao. Mloango kama huu huuzwa kati ya shilingi laki saba na kuendelea inategemeana na uzuri wa mlango wenyewe. 
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA 
KASI
                      -
                    
Na Munir Shemweta, WANMM 
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya 
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
16 hours ago

No comments:
Post a Comment