Milango ya Zanzibar Door ni moja ya kivutio cha Mji Mkongwe wa Zanzibar kwa Wageni wanaofika katika mitaa hiyo kuangalia mitaa ya historia na wakazi wa Zanzibar hutumia milango hiyo kwa matumizi ya majengo yao ili kupendezesha majengo yao. Mloango kama huu huuzwa kati ya shilingi laki saba na kuendelea inategemeana na uzuri wa mlango wenyewe.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment