Wanafunzi wa Madras wakijibu maswali ya Dini yanayoulizwa kupitia kipindi maalum cha Redio Zanzibar ZBC Redio hufanyka kilia mwaka katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhaani=, wakiwa jirani na redio hiyo rahaleo wakikamilisha maswali hayo na kukabidhi sehemu husika.
Habari : Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Ashiriki Mkutano wa Dharura wa SADC
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi
W...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment