Ajali si ya gari peke yake hata na rukwama nalo hupata ajali likiwa katika kazi zake, kama inavyoonekana pichani msokuma mkokoteni (rukwama) akishusha mizogo katika rukwama hilo baada ya kupata ajali ya kutoka kwa ringi na kusababisha kuzuiya njia kwa muda mfupi katika eneo la marikiti ya mbogamboga na kushusha mizigo hiyo. ukizingatia katika kipindi hichi cha mfungo inakuwaje kazi hii.
Habari : Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Ashiriki Mkutano wa Dharura wa SADC
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi
W...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment