Ajali si ya gari peke yake hata na rukwama nalo hupata ajali likiwa katika kazi zake, kama inavyoonekana pichani msokuma mkokoteni (rukwama) akishusha mizogo katika rukwama hilo baada ya kupata ajali ya kutoka kwa ringi na kusababisha kuzuiya njia kwa muda mfupi katika eneo la marikiti ya mbogamboga na kushusha mizigo hiyo. ukizingatia katika kipindi hichi cha mfungo inakuwaje kazi hii.
WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA HABARI
SABASABA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu,
Mhe. Ridhiwani Kikwete alipotembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandish...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment