Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akimfariji mzee Ali Juma Makame wa Mkwajuni, baada ya kumjuilia hali ikiwa ni ziara ya kiongozi huyo ya kutembelea wagonjwa na wafiwa.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akimjuilia hali mzee Faraji Mziwanda wa Chaani, ikiwa ni ziara yake ya kutembelea wagonjwa na wafiwa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akimjuilia hali Haji Makame Sangire wa Kigunda, ikiwa ni ziara yake ya kutembelea wagonjwa na wafiwa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja. (Picha na Salmin Said, OMKR).
TASAC Yawasihi Vijana Kuchangamkia Mafunzo ya Mabaharia
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
LICHA ya sekta ya bahari kuwa na mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa
dunia, bado dunia inakabiliwa na upungufu mkubwa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment