POLO zilizopekiwa Vifuko vya Plastiki,
vikishushwa kwenye Gari ya Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, kwa lengo la
kuteketezwa kwa Moto, huko katika jaa la kutupia taka Vitongoji, vifuko hivyo
vilivyokuwa na thamani ya Shilingi Milioni Saba (7), ambavyo vilikamatwa na
kikosi kazi cha kudhibiti Uningizaji wa Mifuko ya aina hiyo kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman,Pemba.)
KIKOSI kazi cha kudhibiti uingizwaji na
utumiaji wa Mifuko ya Plastiki Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakimimina vifuko vya
aina hiyo huko kwenye jaa la kutupia taka Vitongoji, kwa ajili ya kuviteketeza
kwa moto, vifuko hivyo vilikamatwa huko bandarini Wete, vikiwa katika polo tisa (9) zenye kilo 477 na thamani ya
shilingi Milioni Saba (7). (Picha na
Abdi Suleiman,Pemba.)
KIKOSI kazi cha kudhibiti uingizaji na
utumiaji wa Mifuko ya Plastiki Mkoa wa
Kaskazini Pemba, wakivichawana vifuko hivyo kwa ajili ya kuviteketeza kwa moto,
vifuko hivyo vilikamatwa huko bandarini Wete, vikiwa katika polo tisa (9) zenye kilo 477 na thamani ya
shilingi Milioni Saba (7). (Picha na
Abdi Suleiman,Pemba.)
KIKOSI kazi cha kudhibiti uingizaji na
utumiaji wa Mifuko ya Plastiki Mkoa wa
Kaskazini Pemba, wakivichoma moto vifuko hivyo, huko katika jaa la kutupia taka
Vitongoji, baada ya kukamatwa huko bandarini Wete, vikiwa katika polo tisa (9) zenye kilo 477 na thamani ya
shilingi Milioni Saba (7). (Picha na
Abdi Suleiman,Pemba.)
VIFUKO vya plastiki vilivyokamatwa
vikiendelea kuteketea kwa moto, baada ya kuchomwa na kikosi kazi cha kudhibiti
uingizaji na utumiaji wa mifuko hiyo, huko katika jaa la kutupia taka
Vitongoji. (Picha na Abdi
Suleiman,Pemba.)
No comments:
Post a Comment